Michuano ya CHAN 2009 imemalizika huko Ivori Coast kwa Bingwa kuwa DRC Congo baada ya kumzabua Ghana 2-0 hivyo kuwa mabingwa wa michuano hiyo mipya kabisa barani Africa.
http://http://www.cafonline.com/competition/african-nations-championship_2009/results-standings
Tanzania tu mojawapo ya timu au nchi zilizoshiriki na kushia hatua ya makundi kwa kupata pointi NNE ambazo hazikutosha kutupeleka mbele zaidi.
Tulienda katika michuano hii natumaini tukiwa ni nchi pekee Afrika ambayo timu yake ilianza kujengwa muda mrefu sana toka tunaanza mbio za Ghana tukachemsha tukaja nayo pia na mbio hizi za kombe la dunia 2010 na mataifa ya afrika Angola tukachemsha(nimetaja michuano mikubwa tu ...acha chalenji).
Angalau tukagangamala kwenda CHAN.Huko nako hadithi ndio kama hiyo ikiambatana filamu za CHUJI NA BOBAN AIRPORT.Bado tunatoa vijisababu kibao.
IKUMBUKWE kuwa hatukustahili hizi pointi nne tu TULISTAHILI UBINGWA.
Nasema hivi kwa sababu timu yetu muda mrefu imekuwa kuwa inashiriki mashindano mbalimbali tofauti(toka hatua za mtoano Ghana na world cup 2010) sisi tupo tunatolewa hapo tuaingia hapa....angalia tulipo kwama http://http://www.cafonline.com/competition/african-cup-of-nations-angola_2010/news/2227-groups-and-standings-wc-south-africa-acn-angola-2010.html hivi kweli tulistahili haya matokeo pamoja na kuwachachafya Cameroon??Muda wote Kocha ameshindwa kweli kuwa timu ambayo ingekuwa tishio CHAN kweli?
Wenzetu wachezaji wao wengi hawakuwepo wako ulaya na kwingineko.angalia zambia http://http://www.fifa.com/worldcup/preliminaries/africa/teams/team=43891/statistics.htmlHapa inaonyesha kuwa bado tuna tatizo la kimsingi kabisa mipango yetu bado ni midogo au haipo.
TFF na hao wanaosimamia timu yetu hawajatupa kile tunachokihitaji kwani timu yetu ilienda ikiwa na uzoefu wakutosha kabisa Kocha wetu nae anakuwa mswahili sasa muda wake ukiihsa asipewe nyongezqa tena WAJE wengine nao watutoe hapa tulipo.
Pia uongozi wa shirikisho la soka nao waache tabia hii ya kusubiria wasamaria wema tu ndio wajitokeze wawalipie kocha muda huu ni muda mzuri wa kufunga "ndoa" na mtu utakae kuwa na sauti nae yaani utakaye weza kumwondoa muda wowote ule.Huyu lwa kuwa ni wa mjomba ndio maana mnakuwa wanyonge hamzungumzi lolote mpo tu kwa vile mnatakiwa kuwepo.Muache tabia fanyeni kazi yenu mtuletee kocha sio ilimradi kocha.
Tujiulize tumekosa kufanya vizuri kwenye mshaindano mangapi mpaka sasa?????????
Kila siku uzoefu hatuna mpaka lini wakati ni sisi kati ya timu zote ambao timu yetu imecheza muda mrefu kuliko wenzetu....HILI TUMELIFUMBIA MACHO...tuliangalie na hili...
Thursday, March 12, 2009
omba nazidi kuomba
Tuko na maisha yanaendelea kwa mtindo ule ule.Usiniambie ni upi tena ?
Kwani weye hujui mtindo wetu ni kuomba.
Mara jirani mtoto katumwa mboga za kumalizia ugali....jiulize huo ugali wenyewe upo?
Ndio hivyo mwendo mdundo..ukitoka nje lifti inabidi uombe ili mambo yaende. dukani kwa mangi napo naomba nanii..Nini sema...
Kwa mwenye nyumba nako lazima landlord umwombe japo kaa muda umsawazishie mambo yake.Duu kila kona ..
Mambo yamekuwa magumu na huu uchumi...
Kwa mjomba nako kwa mbali tunasikia kilio nae anajipiga analia mambo si mambo nae anaomba aa
Sasa sijui itakuwaje jamani maana nalimtegemea mjomba nae ndio hivyo.
Daah basi tena
Kwani weye hujui mtindo wetu ni kuomba.
Mara jirani mtoto katumwa mboga za kumalizia ugali....jiulize huo ugali wenyewe upo?
Ndio hivyo mwendo mdundo..ukitoka nje lifti inabidi uombe ili mambo yaende. dukani kwa mangi napo naomba nanii..Nini sema...
Kwa mwenye nyumba nako lazima landlord umwombe japo kaa muda umsawazishie mambo yake.Duu kila kona ..
Mambo yamekuwa magumu na huu uchumi...
Kwa mjomba nako kwa mbali tunasikia kilio nae anajipiga analia mambo si mambo nae anaomba aa
Sasa sijui itakuwaje jamani maana nalimtegemea mjomba nae ndio hivyo.
Daah basi tena
Monday, October 13, 2008
umecheki hawa.....??
Tuesday, September 16, 2008
Vijigoo wa Anfield
we acha bwana hivyi vijogoo bwana...tehe...tehe....tehe....
Naona mambo mswano tu wakwetu.....tehe...tehe...
Urewedi mbwange...tehe..tehe...Inabidi niwakumbuke vyabwangwe(vijana) kule kule thithi ndio baba ......
Hongera sana Liverpool fc mwendo si mbaya huu mwanzo mzuri
Tukaze buti
tehee......tehe...tehe.......tehe.....tehe...
Naona mambo mswano tu wakwetu.....tehe...tehe...
Urewedi mbwange...tehe..tehe...Inabidi niwakumbuke vyabwangwe(vijana) kule kule thithi ndio baba ......
Hongera sana Liverpool fc mwendo si mbaya huu mwanzo mzuri
Tukaze buti
tehee......tehe...tehe.......tehe.....tehe...
Sunday, August 24, 2008
Hongera watali wetu
Michezo ya olympiki imeisha kwa madaha makubwa kwa taifa mwenyeji China kuidhihirishia dunia kuwa tupo.Michezo ya aina yake ambayo inaelezewa kuwa haijawahi tokea.Haya nasi tulikuwa huko kama washiriki wengine lakini tumerudi kama tulivyoondoka.
Walienda kutuwakilisha wanarudi mikono mitupu,Du...Aibu lakini ndio hivyo.Si walienda kutaliii............
Walienda kutuwakilisha wanarudi mikono mitupu,Du...Aibu lakini ndio hivyo.Si walienda kutaliii............
Monday, July 21, 2008
tupo kama kawa
duuu......kitambo kama vile mgeni kijiweni humu.
tupo kama kawaida si unajua maisha .....tehe...tehe.. mara nauli kupanda ...oooh mara epa sijui epo vile mara ufisadi ilimradi siku zinakatika au ...nipe tano basii....
tupo kama kawaida si unajua maisha .....tehe...tehe.. mara nauli kupanda ...oooh mara epa sijui epo vile mara ufisadi ilimradi siku zinakatika au ...nipe tano basii....
Saturday, April 12, 2008
STUDIO 1

reggae / recording studios / studio 1 / coxsone_speaker2_rv_y
sir coxsons downbeat (texture)
speakers soundsystem

reggae / recording studios / studio 1 / rv032_rv
instruments at studio 1 recording studio (portrait)
instruments studios 1 bass piano keyboard

reggae / recording studios / studio 1 / rv033_rv
piano and trumpet at studio 1 recording studio (texture)
instruments piano trumpet studios 1

reggae / recording studios / studio 1 / rv034_rv
trombones at studio 1 recording studio (texture)
instruments trombone studios 1

reggae / recording studios / studio 1 / rv035_rv
coxsones muzik city sign in kingston (texture)
studios 1 music city detail texture guitar turntable
http://www.urbanimage.tv/browse.htm?loc1=reggae&loc2=recording%20studios&loc3=studio%201&
Subscribe to:
Posts (Atom)

